Header Ads

Breaking News
recent

AJALI YA BASI "KIEGEA GAIRO" - MTU MMOJA AFARIKI DUNIA NA WENGINE 11 KUJERUHIWA. (ITV HABARI).


Mtu mmoja amefariki dunia papo hapo na 11 wamejeruhiwa katika ajali ya basi la kampuni ya Muhamed Trans likitokea Dar es salaam kwenda Dodoma baada ya kupata ajali katika eneo la Kiegea Gairo barabara ya Morogoro Dodoma .

VIA - ITV TANZANIA.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.