Header Ads

Breaking News
recent

PICHA ZA MAZISHI YA MSANII 'GOLDIE HARVEY' ALIYEZIKWA LEO HUKO LAGOS NIGERIA.

Humu ndimo mwili wa Goldie ulimo lazwa
Ni siku 11 tokea msanii Goldie Harvey kutoka Nigeria afariki kwa tatizo la moyo na kuacha majonzi na vihoja kibao vikiendelea kwa miongoni mwa waombolezaji.

Goldie alifariki mwezi February 14 huko Nigeria ikiwa ni mara baada ya kufika Nigeria akitokea kushiriki katika sherehe za tuzo za Grammy nchini Marekani. (R.I.P)

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.