Hii ni picha aliyoweka msanii Diamond katika account yake ya Instagram yenye ujumbe kuwa huyu ni mama wa mtoto wangu (kwa kiingereza), huenda akawa ni mpenzi mpya wa Diamond Platnumz ambae sisi bado hatujamjua.
DIAMOND PLATNUMZ AWEKA PICHA YA MSICHANA MWINGINE NA KUANDIKA "MABABY MAMA", JE NI MPENZI WAKE MPYA?
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Sunday, February 10, 2013
Rating: 5
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA