Header Ads

Breaking News
recent

TaifaStars yaanza kujifua kwa mashindano ya Afrika ya February 2013 (HABARI ITV LEO)


Baada ya kuwaadhiri mabingwa wa soka barani Afrika Timu ya Taifa ya Zambia kwa kuichapa bao 1-0, timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' inatarajia kurejea kambini Januari 6 kwa ajili ya kujiwinda na mechi za kimataifa za kirafiki dhidi ya timu zitakazoshriki fainali za Afrika zitakazofanyika kuanzia Februari mwakani nchini Afrika Kusini.

Source: ITV TANZANIA

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.