NYOTA wa filamu kutoka Nigeria maarufu kama Tonto Dike ambaye ameonekana kuwa na kipaji pia cha muziki, amefunguka kuwa anajiandaa vyema kuachia album ya nyimbo zake.
Mrembo Dike, hivi karibuni aliachia nyimbo zake mbili October, 2012.
MCHEZA FILAMU MAARUFU "TONTO DIKE" AMEPANGA KUACHIA ALBUM YA MUZIKI.
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Thursday, December 20, 2012
Rating: 5
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA