Header Ads

Breaking News
recent

Jengo kongwe la Beit-Aj-Ajab laanguka kwa mvua Zanzibar.


Wakati mvua zinazoendelea kunyesha na kuonekana kuwa ni faraja kubwa kwa wakulima hali haikuwa hivyo kwa wakazi wa Mjimkongwe baada ya kushuhudia mvua hizo zikisababisha jengo maarufu la makumbusho la Zanzibar Beit-Al- Ajab kuanguka sehemu moja na Kusababisha hasara kubwa kwa serikali na raia.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.