Watu wawili wamepoteza maisha na wengine 11 kujeruhiwa vibaya baada ya lori kugonga na kuparamia Hiace mbili kwa wakati mmoja katika eneo la njia panda Itende jijini Mbeya.
HABARI ITV: Watu 2 wafariki dunia 11 wajeruhiwa katika ajali Mbeya.
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Friday, December 07, 2012
Rating: 5
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA