Header Ads

Breaking News
recent

ITV HABARI: Wanafunzi wawili wa chuo cha KCMC wavamiwa na kupigwa na Majambazi.


Wanafunzi wawili wa chuo kikuu kishiriki cha Tiba cha Kikristo Kilimanjaro - KCMC wamenusurika kifo baada ya kuvamiwa na kupigwa Risasi na kujeruhiwa na mapanga na watu wanaosadikiwa ni majambazi katika nyumba wanazoishi katika eneo la Longuo B

1 comment:

  1. poleni watanzania wenze2 mungu atawaxaidia.

    ReplyDelete

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.