Header Ads

Breaking News
recent

TAYLOR SWIFT NA JUSTIN BIEBER WAONGOZA TUZO ZA MTV EUROPE MUSIC 2012.

Jana usiku tuzo za MTV Europe Music zimetolewa jijini Frankfurt, Ujerumani.
Taylor Swift na Justin Bieber ndio waliotamba zaidi kwa kunyakua tuzo 3 kila mmoja ambapo Taylor alishinda Best Female, Best Live and Best Look.

Justin Bieber, hakuwepo kwenye tuzo hizo lakini alitengenezwa vichwa vya habari vingi weekend hii kwa habari kuwa ameachana na mpenzi wake Selena Gomez. Hata hivyo alishinda tuzo 3, Best Male, Best Pop na Best World Stage.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.