RAIS KIKWETE AZINDUA JIJI LA ARUSHA RASMI TAREHE 1. 11. 2012.
Asili Yetu Tanzania.Copyright
![]() |
| Rais Jakaya Kikwete akizindua nembo ya jiji jipya la Arusha |
![]() |
| Rais Kwete akizindua hospitali maeneo ya Ngaramtoni jijini Arusha...jana. |
![]() | ||||
| Hili ndilo jiwe la msingi la mradi wa uboreshaji wa miundombinu lililowekwa na rais Kikwete jana maeneo ya kata ya Levolosi jijini Arusha. |
![]() |
| Rais Kikwete, Magufuli, mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa, Hawa Ghasia na viongozi wengine wakiwa katika uzinduzi wa mradi wa uboreshaji wa miundo mbinu jijini Arusha. |
![]() |
| Rais Jakaya Kikwete akishikana mkono wa shukurani na mstahiki Meya wa jiji la Arusha Gaeudence Lymo, ikiwa ni baada ya kuzindua nembo ya jiji jipya la Arusha katika mnara wa azimio la Arusha. |
![]() |
| Rais Kikwete akimkabidhi hati ya jiji jipya la Arusha Mstahiki Meya Gaeudence Lymo katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Karume. |







No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA