Header Ads

Breaking News
recent

Majengo mapya ya jumuiya ya Africa mashariki yamezinduliwa Arusha.

Wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki wakiongozwa na Rais wa Tanzania Dr. Jakaya Kikwete wamezindua rasmi majengo mapya ya makao makuu ya jumuiya hiyo yaliyoko jijini Arusha yaliyojengwa chini ya ushirikiano wa nchi wanachama wa jumuiya hiyo.
Source: ITV

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.