Header Ads

Breaking News
recent

DIAMOND ASHINDA TUZO MARA MBILI MOMBASA NCHINI KENYA.

Diamond

Kwa miaka miwili mfululizo Daimond amekuwa ni mshindi wa Tuzo za Nzumari kama Best Male Artist kutoka Tanzania.Tuzo hizo hufanyika kila mwaka huko Mombasa.Baadhi ya washindi wengine ni kutoka Nairobi ambapo Tuzo ya Msanii bora wa kiume Nairobi imeenda kwa Octopizo, na ya msanii wa Kike kutoka Nairobi imekwenda kwa Muthoni da Drama Queen.
Tembelea AnnaPeter blog.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.