ARUSHA KUWA JIJI RASMI LEO, WAKAZI WAFURAHISHWA NA UZINDUZI HUU.
Asili Yetu Tanzania.Copyright

Jakaya Kikwete kuzindua Rasmi mji wa Arusha kuwa jiji, ziara itaanza katika maeneo mbali mbali ya mji ikiwemo mnara wa Mwenge na hatimae kumalizia katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Karume hapa mjini Arusha. Kwa picha za sghuli ya leo katika uzinduzi wa Arusha kuwa jiji fuatilia hapa hapa 'Asili Yetu Tanzania blog'.
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA