WAREMBO WA MISS REDD'S TANZANIA WAKIWA WAMEVALIA MAVAZI YA ASILI YETU.
Asili Yetu Tanzania.Copyright
![]() |
| Picha za warembo wa Redd's miss Tanzania wakiwa wamevaa mavazi ya asili yetu, wakati walipomtembelea waziri mstaafu Edward Lowasa Monduli mkoani Arusha. |
![]() |
| Hakika mavazi haya ya kiasili yaliwapendeza warembo hawa, wakiwa ndani ya himaya ya Lowasa. |
![]() |
| Edward Lowasa akisalimiana na mmoja wa warembo wa Miss Tanzania, nyumbani kwake Monduli. |
![]() |
| Lowasa akisalimiana na mrembo wa miss Redd's. |
![]() |
![]() |






No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA