Header Ads

Breaking News
recent

VURUGU ZANZIBAR ZILIVYOZUKA BAADA YA HABARI KUENEA KUWA KIONGOZI WAO WA "UAMSHO" KUWA AMEKAMATWA.

Asili Yetu Tanzania.Copyright

    Kwa mujibu wa Katibu wake, Abdallah Said Ally, amesema alikuwa na dereva wake maeneo ya Michenzani akitokea nyumbani kwake Mbuyuni, ndipo akakutana na gari moja ambalo dereva halifahamu na akashuka mwenyewe kwenye gari lake na kuingia katika hilo gari na kuanzia hapo hadi sasa hajulikani alipo.
    Katibu huyo wa Uamsho na wenzake wamekuwa katika juhudi za kutuliza jazba za wafuasi wao na sasa wanawasiliana na polisi kujua alipo kiongozi wao.Habari zaidi baadae



Huyu ndiye Kiongozi wa Kundi linaloitwa UAMSHO la Zanzibar Sheikh Farid anayesadikiwa  kukamatwa huko Visiwani Zanzibar. Kundi hilo shughuli zake ni za mihadhara ya Kidini hasa ya Kiislam.Picha zote na akhtarissak

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.