Header Ads

Breaking News
recent

MAANDAMANO YA WAFUASI WA SHEIKH PONDA JIJINI DAR ES SALAAM BAADHI YAO WAKAMATWA NA POLISI.

Asili Yetu Tanzania.Copyright

Mmoja wa wafuasi wa kikundi cha waislamu wenye imani kali akidhibitiwa na polisi mara baada ya kukamatwa leo katika kituo kikuu cha polisi Kati wakijaribu kuandamana ili kushinikiza kiongozi wao Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Sheikh Ponda  Issa Ponda kuachiwa na jeshi la polisi mara baada ya kukamatwa jijini Dar es salaam kwa kudaiwa kusababisha vurugu.

Polisi wakiwa tayari kwa kudhibiti maandamano hayo katika kituo kikuu cha Reli karibu na polisi kati jijini Dar es salaam leo mchana.
 Habari na picha...Globle publishers

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.