Header Ads

Breaking News
recent

UKUMBI WA SHULE YA MSINGI LUGALO, WATEKETEA KWA MOTO JIJINI DAR ES SALAAM.

Asili Yetu Tanzania.Copyright

Huu ndio muonekano halisi wa ukumbu wa mikutano wa shule ya Lugalo jijini Dar es salaam, baada ya kuwa umeteketea kwa moto.

Gari la zima moto likiendelea kuzima moto, ambao chanzo chake kinasemekana kuwa ni hitilafu za umeme.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.