Header Ads

Breaking News
recent

PICHA ZA KUUAGA MWILI WA ALIYEKUWA RPC MKOANI MWANZA "LIBERATUS BARLOW" UKIAGWA MJINI MWANZA.

Asili Yetu Tanzania.Copyright

 Picha hii ya kwanza ni ya kamanda Barlow wakati wa uhai wake, na hapo chini ni wakati mwili wake ukiagwa mkoani mwanza.


Afande George Msangi akiongoza ratiba za kumuaga aliyekuwa kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza SACP Liberatus Ballow aliyeuawa usiku wa kuamkia jumamosi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi katika eneo la Kitangiri karibu na Hotel ya Tai Five.

Viongozi mbalimbali wa Kiserikali wakisimama kwa dakika chache kuupa heshima mwili wa marehemu kamanda Liberatus Barlow.

Wanafamilia wa marehemu kamanda Liberatus Ballow wakiwa na majonzi makubwa sana katika uwanja wa Nyamagana wakati wa kuuaga mwili wa mpendwa wao Liberatus Barlow.

Maafisa wa Majeshi aina mbalimbali kutoka Tanzania wakionekana katika hafla la kuuaga mwili wa marehemu kamanda Liberatus Barlow.

  Hapa wakiushusha kutoka ndani ya gari ili waweze kuubeba.

Safari ya kuelekea sehemu maalum iliyopangwa kwa ajili ya mwili wa marehemu ilianza hiviii..

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.