Jeshi la polisi limetumia mabomu ya machozi katika maeneo ya Kariakoo
jijini Dar es Salaam kutawanya makundi ya Waislam waliokuwa na lengo la
kutaka kuandamana kushinikiza wenzao waliokamatwa kuachiwa hali
iliyosababisha tafrani na maduka yote kufungwa kwa muda katika maeneo
hayo.
POLISI YATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA WALIOTAKA KUANDAMANA.
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Friday, October 19, 2012
Rating: 5
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA