HIFADHI YA NGORONGORO NI KIVUTIO CHA ASILI KWA WAGENI WA NDANI NA WA NJE
Asili Yetu Tanzania.Copyright
![]() |
| Vitu mbali mbali vya asili ni sehemu kubwa pia katika utalii wa ndani, na hapa ni mmoja wa waandishi wa habari akichagua vitu vya asili wakati wakiwa hifadhi ya Ngorongoro wiki hii. |
![]() |
| Jamii ya wamasai ni sehemu pia ya kivutio kwa wageni watembeleao katika hifadhi zetu za Taifa, wao huangusha burudani ya asili ya ukweli. |
![]() |
|
Wageni wakiwa wanaangalia bidhaa zinazotengenezwa na wamasai
zilizopo ndani ya hifadhi ya ngorongoro.
|
![]() |
|
Hii ndio baiskeli ambayo inadaiwa mtafiti Dkt,Yoshiharu
Sekino wa asili ya kijapani alitumia kutembelea nayo hadi Tanzania.
Story hii ni kwahisani ya Libeneke la Kazini. |





No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA