BAADHI YA WAANDAMANAJI WAFANIKIWA KUPENYA NA KUFIKA MPAKA IKILU.
Asili Yetu Tanzania.Copyright
Licha ya polisi kuweka ulinzi mkali katika mitaa mbalimbali ya jiji la
Dar Es Salaam kuwadhibiti watu wanaodhaniwa ni Waumini wa dini ya
Kiislamu waliokuwa na nia ya kufanya maandamano kuelekea Ikulu kwa lengo
la kushinikiza kuachiliwa huru wenzao wanaoshikiliwa na polisi baadhi
yao wamefanikiwa kupenya hadi katika maeneo ya Ikulu japo wameishia
mikononi mwa polisi waliokuwa wamezunguka kona zote za makazi hayo ya
raisi.

No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA