Asili Yetu Tanzania.Copyright
 |
| Jeshi la Polisi lilionekana likifanya Doria katika sehemu hio ilikuweka hali ya Usalama.Picha na Yussuf Simai-Maelezo-Zanzibar |
Jengo la Maskani ya kisonge lililochomwa moto na watu
wanaodaiwa ni wafuasi wa Sheikh Faridi wakisindikiza kuachiwa kwa Sheikh
wao huyo ambae wanadhani amekamatwa na Polisi baada ya kutomuana kwa
siku Nzima,Jeshi la Polisi limekanusha kumkamata Sheikh huyo na kuwaomba
wananchi kushirikiana
 |
| Tukio la kuchomwa Moto Maskani ya CCM Kisonge limesababisha pia mali na
baadhi ya Vyombo vilivyokua hapo kuteketea kwa Moto kama inavyoonekana
Vespa iliowekwa eneo hilo ambayo mmiliki wake hajajulikana ikiteketea. |
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA