Header Ads

Breaking News
recent

WALIOHUSIKA KATIKA TUKIO LA KUUWAWA KWA MWANDISHI WA CHANEL TEN WAWAJIBISHWE.

Asili Yetu © All rights reserved



Serikali imeunda tume maalum ya kuchunguza vurugu na mauaji yaliyotokea mkoani Iringa na kusababisha kifo cha mwandishi wa habari wa kituo cha utangazaji cha Chanel ten ambapo tume hiyo itapaswa kufanya kazi ndani ya mwezi mmoja na iwe imetoa ripoti yake.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.