Asili Yetu © All rights reserved
Warembo hao wakiwa kwenye vazi la ufukweni wakipita mbele ya majaji na watazamaji walioshuhudia shindano hilo.
Mshindi aliyenyakua taji hilo Brigit Alfred akicheza midundo ya kihindi kwenye kinyang'anyiro cha vipaji na kuibuka kidedea.
Hawa ndio waliofika tano bora kutoka kushoto ni, Judith Sangu, Brigit Alfred, Diana George Hussein, Irene David na Kudra Lupatu.
Redds miss Kinondoni anayemaliza mudawake Stela Mbugi, akiwa kwenye picha yapamoja na tanobora kabla ya kukabidhi taji hilo.
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA