Header Ads

Breaking News
recent

WATENGWA KUACHIA ALBUM MPYA YA "FULL ILE LAANA VOL.2".

All rights reserved to Asili Yetu.

JCB- KICHWA CHA WATENGWA AKIWA NA MWANAE ALBERT JCB (MAKALA) WIKI HII A TOWN.
 Ukizungumzia muziki wa Arusha basi hutasita kuzungumzia kundi zima la WATENGWA na iconi zao kama JCB, CHINDO na washikaji kibao ambao wanatema rhymes kali kama moto. Kikosi cha WATENGWA kimesha jipanga sawia kabisa kuachia madini/ Album mapya ya FULL ILE LAANA VOLUME. 2 baada yakuwa wametesa na Full Ile Laana Vol.1. MATHEW BRUNO (Mtu wa karibu sana na Watengwa) amefunguka kuwa Album hiyo imefanyika baada ya kikosi cha kufanya ziara ya "WATENGWA 2 FRENCE Musical  Safari" iliyosababishwa na MATAYO BRUNO. Album hiyo ya FULL ILE LAANA ITAKUWA Ni documentary ya Audio na Video.

JCB Makalla wa kati akiwa na Marafiki zake,Kushoto ni Sorael From U.S.A na Kulia ni Mathew Bruno  kutoka France ,Huyu ndie rafiki na WATENGWA aliewa push wao kwenda ufaransa kupitia 'WATENGWA 2 FRANCE ( A MUSIC SAFARI ) kutoa albam mpya ya FULL ILE LAANA VOL 2

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.