Header Ads

Breaking News
recent

WASHINDI WA DANCE MIA MIA (100% 100%) T- AFRICA WACHUKUA MILION 5,000,000.

Asili Yetu © All rights reserved



                                                                                     T- AFRICA

 Sakata la kutafuta mshindi katika shindano la Dance 100% 100% limekamilika leo pale Leaders Club Kinondoni baada ya kundi la T - AFRICA kuonyesha umahiri wao katika fani ya kucheza, hivyo kunyakua kitita cha shilingi milioni 5,000,000/= za kitanzania.
Baadhi ya makundi yaliyoingia fainali ni pamoja na Best Friends, FBI, The Chocolate, T- Queens na T- Africa. Hata hivyo maoni ya wadau mbali mbali hayakusita kuonekana katika mitandao ya kijamii....Wengine waliomba next time wapewe nafasi ya kuwapigia kura washiriki wa Dance 100% 100%....Mara ooooh! Best Friends.....

Majaji wa D 100% 100%









No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.