Header Ads

Breaking News
recent

KIM KARDASHIAN APANGA KUPATA UJAUZITO WA KUPANDIKIZWA KITAALAMU.

All rights reserved to Asili Yetu.

KIM KARDASHIAN
Mpenzi mpya wa raper Kanya West, Kim Kardashiani amefunguka kuwa yuko tayari endapo atafikisha mika 40 bila kuolewa basi atatumia njia ya kitaalam ya kupandikizwa mbegu za kiume ili apate mtoto. Kim mwenye umri wa miaka 31 sasa alifunguka bila kuficha katika kipindi cha Luninga cha Oprah Winfrey kuwa "nataka niwe na mwisho wenye furaha kama wasichana wengine, nataka niwe na watoto"

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.