Header Ads

Breaking News
recent

HASSAN .J MOSOKA NI MTANZANIA ALIYETUNUKIWA MASTERS YA 'ARTS IN ORGANIZATIONAL MANAGIMENT' NCHINI MAREKANI.

All rights reserved to Asili Yetu.


Hassan .J  Mosoka akitunukiwa masters ya 'Arts In Organizational Management Ohio nchini Marekani.


Hassan baada ya kupokea master yake, mpango mzima.



 
Hassan (kushoto) akiwa na Kajungu ambae pia yuko huko Marekani.


Hassa akipongezwa na Judith.


Hawa ni wabongo walioko huko Marekani, wakiungana  kumpongeza Hassan.


Baada ya hapo mpango mzima ulisababishwa na Mr. Kajungu, yani Nyama full kujilamba.


Hongera sana kaka kwa kazi ngumu uliyofanya hatimae umeikamilisha.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.