Header Ads

Breaking News
recent

LEO MCHANA TUKIJIACHIA MIDA YA LUNCH MAENEO FLANI HIVI YA A TOWN

All rights reserved to Asili Yetu.

Hapa ilikuwa mida ya lunch, tulijisogeza kiwanja kula bata then mida yakazi iendelee.
Gadiola a.k.a baba G akiwa na Keny The Remeddy wakipata lunch ya ukweli pande za A.Town.
Kiukweli msosi ulikuwa mtamu sana, mara Asili Yetu ikatinga na kamera, duh! Ikawa hivo sasa!!
Gadiola akiwa na Machota wakila bata ya lunch maeneo flani hivi.
Keny akijaribu kufikiri "now mida yakazi ndo hii, so nijimovuzishe zangu kimpango".
Machota akiwa na Wazalendo25 blog wakila nice time za town.



2 comments:

  1. ivi nyie wakaka mwalaga chipsi niza kwa rusti bila kukosa

    ReplyDelete
  2. Karibu sana dada yetu tuvunje mayai,ndo mpango mzima.

    ReplyDelete

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.