All rights reserved to Asili Yetu.
| Mwenyekiti wa chama cha Tanzania Labour Part (TLP) Augustino Lyatonga Mrema akiwahutubia wananchi katika viwanja vya Tengeru , katika uzinduzi wa kampeni za chama cha TLP mkoani Arusha. |
![]() |
| Mgombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA wakati alipotembelea soko la Tengeru nje kidogo ya mji wa Arusha. |
| Hawa ni baadhi ya wafanya biashara wa soko la Tengeru lililoko mkoani Arusha wakiwa na mgombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA.. |

No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA