![]() | ||
SPRITE... TII KIU YAKO!!!!!
|
![]() |
| KUTAKUWEPO NA WAKALI WA KUDUNK |
![]() |
| SPRITESLAM CONCERT ARUSHA- MOSHI |
§ Sprite inakuletea Spriteslam Concert 2011 ndani ya Arusha na Moshi, ni
weekend hii ambapo wakali wa Basketball wa miji hii watachuana vikali..
§ Spriteslam Concert ndani ya Arusha itakuwa Ijumaa hii tarehe 14 October, katika viwanja
vya Soweto.
§ Na pande za Moshi Spriteslam Concert itakuwa Jumamosi hii
tarehe 15 October, katika viwanja vya Chuo Cha Polisi (CCP).
§ Njoo uwaone machalii wa kitaa
wakichuana vikali katika fani mbalimbali za Urban Expression, kutakuwa na;
1.
Michuano
ya 3 on 3 Basketball ..
2.
Streetdance
competitions na;
3.
Hip
Hop Battles aka kuchana!!
4.
Washindi watakwenda Dsm kukutana na wakali wengine wa Mwanza,
Mbeya, Dodoma na wenyeji Dsm.
§ Spriteslam Concert itakupa pia burudani kutoka kwa Mwana
Hip Hop mwenye tuzo ya wimbo bora wa Hip Hop, mwenye tuzo ya Collabo, mzee wa….
Ukiskia
PAAA!! …… J, C, B.
§ Spriteslam Concert katika mikoa yote itaanza saa nne kamili
asubuhi hadi jioni… Maonyesho haya ni Bure hakuna kiingilio!!.
§ Wachukue jamaa wa kitaa basi, au
washkaji wa shule yako uje tujichanganye na wajanja wengine kutoka pande tofauti
tucheki Basket..
§ Spriteslam Concert inaletwa kwenu na Sprite!!
§ Tii Kiu Yako, Kunywa Sprite!! !



No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA