i | |||||||||||||||||||||||||||||||||||
| Mbuge mpya wa Jimbo la Igunga mkoani Tabora, Dr. Dalali Kafumu akiashiria ushindi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya matokeo kutangazwa na tume ya uchaguzi huo. Tanzania imekuwa matumbo joto kwa takribani siku kadhaa hivi, kuanzia kampeni, uchaguzi hadi matokeo baada ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Bw. Rostam Azizi kujiuzulu wadhifa huo. Chama Cha Mapinduzi ndicho kilicho ongoza kwa jumla ya kura 26484 na kushika nafasi ya kwanza. Halikadharika Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) WAMEJINYAKULIA JUMLA YA KURA 23266 huku wakishika nafasi ya pili, wakifuatiwa na CHAMA CHA WANANCHI (CUF) kwa jumla ya kura 20104 NAKUFANIKIWA KUSHIKA NAFASI YA TATU. |
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
i
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA