Header Ads

Breaking News
recent

Ngoma mpyaaa! Mo Plus ft. Roma Mkatoliki & Banx Ndani ya Noizmekah


Baba wa ukoo a.k.a Mo plus ndani ya Noizmekah studios Arusha akiwa na
Banx & Roma ambapo ilidondoshwa hip hop track ya ukweli.Ngoma hiyo ipo
katika harakati za kufanyiwa mixing."m2 mzima nimemshirikisha Roma
mkatoliki coz muziki wake upo real kama wangu so ni blessing kwangu na
hip hop kuweza kuendeleza revolution, hii ni mara ya kwanza kwa Roma
Kufanya track ndani ya noiz na ndani ya A-town, mbali na ngoma hii
itakayotoka hewani baada ya mixing,nimeshaanza project ya mixtape na
JCB, Ngoma ya kwanza ikiwa ni beat ya producer "Moscore" na mixing ya
"Dx" ndani ya noizmekah Arusha.Pini hilo pia Banx kasimamia chorus na
linakwenda kwa jina la "everywhere we go"

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.