Mchezaji wa Mpira wa Kikapu katika timu ya Houston Rockets James Harden
alishinda na kuweka rekodi mpya ya kufunga pointi 60, nakutoa pasi
11 pamoja na reboundi 10 katika mechi iliyochezwa hapo jana dhidi ya
Orlando Magic, Houston Rockets walishinda kwa point 114-107.
Rekodi Mpya Ndani ya NBA James Harden Aongoza.
Reviewed by
KISHINDO TZ
on
Wednesday, January 31, 2018
Rating:
5
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA