Monday, June 2 2025

Header Ads

Breaking News
recent

Nyimbo 10 zilizotafutwa zaidi mtandaoni (google) nchini Ghana kwa mwaka 2017

    Mtandao wa google umetoa orodha ya nyimbo 10 zilizotafutwa zaidi katika mtandao huo nchini Ghana kwa mwaka 2017.

     Msanii Shatta Wale ameongoza nafasi ya kwanza kwa kutafutwa mtandaoni kupitia nyimbo zake hapo chini.
    Naye msanii kutoka Nigeria maarufu kama Davido amekamata nafasi ya pili kupitia nyimbo zake kama, “Fall”, “If” na “Fia”
    1. Shatta Wale – Taking Over
    2. Davido – Fall
    3. Davido – If
    4. Shatta Wale – Ayoo
    5. Kidi – Odo
    6. Kuami Eugene
    7. Shatta Wale – Forgetti
    8. Patapaa Feat Ras Cann – One Corner
    9. Run Town Mad – Over You
    10. Davido – Fia
PAKUA NYIMBO ZILIZOTOKA WIKI HII>>>DOWNLOAD
SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi.

Kupata Update kibao, like Facebook account yetu.
Twitter Account yetu>>>Asili Yetu Tanzania
 

Leave a Comment

Powered by Blogger.