Header Ads

Breaking News
recent

Morgan Heritage wachaguliwa kuwania tuzo za Grammy

Wasanii nguli wa miondoko ya Reggae duniani maarufu kama Morgan Heritage wameonesha furaha yao baada ya kutajwa kuwania tuzo za '60 Annual Grammy Awards' zilizopangwa kufanyika January 28, 2018 katika ukumbi wa Madison Square Garden huko New York City

 Morgan Heritage wamechaguliwa kushiriki tuzo hizo kupitia album yao inayofahamika kwa jiana ‘Avrakedabra’ kama Album bora ya Reggae katika tuzo za Grammy.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.