Header Ads

Breaking News
recent

India yaweka rekodi ya dunia kwa ndege nyingi kutua Mumbai ndani ya masaa 24 tu

Huenda ukawa unafahamu kuwa kuna viwanja vikubwa sana vya ndege duniani tofauti na viwanja vya India.

Ila acha nikufahamishe kuwa, Nchi ya India ndiyo iliyovunja rekodi ya dunia baada ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mumbai kupokea ndege 969 ndani ya masaa 24.

PAKUA NYIMBO ZILIZOTOKA WIKI HII>>>DOWNLOAD
SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi.
Kupata Update kibao, like Facebook account yetu.
Twitter Account yetu>>>Asili Yetu Tanzania
 

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.