Header Ads

Breaking News
recent

Almasi kutoka Sierra Leone ambayo ni ya 14 kwa ukubwa duniani yauzwa New York

Almasi ya karati 709 ambayo iligunduliwa na kundi la wachimba migodi nchini Sierra Leone mapema mwaka huu imeuzwa kwenye mnada hii leo mjini New York.

Ni almasi ya 14 kwa ukubwa kuwai kupatikana duniani na pia ndiyo kubwa zaidi kuwai kupatikana nchini Sierra Leon tangu mwaka 1972.
Jiwe hilo la thamani liligunduliwa na Emmanuel Momoh, mhubiri wa kikiristo kwenye wilaya iliyo mashariki ya Kono.

Aliamua kuiuza kwa serikali badala ya kuwauzia madalali.
Chanzo: bbc swahili

PAKUA NYIMBO ZILIZOTOKA WIKI HII>>>DOWNLOAD
SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi.
Kupata Update kibao, like Facebook account yetu.
Twitter Account yetu>>>Asili Yetu Tanzania
 

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.