T-Pain ameachia Album mpya “Oblivion”
Msanii kutoka Marekani maarufu kama T-Pain ameachia Album mpya inayokwenda kwa jina la “Oblivion”, Album hii ina nyimbo 16 akiwa amewashirikisha wasanii kama Wale, Chris Brown, Ty Dolla Sign na wengineo.
T-Pain aliachia album ya ‘Revolver‘ na toka hapo alikuwa kimia kwa upande wa kudondosha album sokoni.
PAKUA NYIMBO ZILIZOTOKA WIKI HII>>>DOWNLOAD
SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi. Kupata Update kibao, like Facebook account yetu.
Twitter Account yetu>>>Asili Yetu Tanzania
T-Pain aliachia album ya ‘Revolver‘ na toka hapo alikuwa kimia kwa upande wa kudondosha album sokoni.
PAKUA NYIMBO ZILIZOTOKA WIKI HII>>>DOWNLOAD
SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi. Kupata Update kibao, like Facebook account yetu.
Twitter Account yetu>>>Asili Yetu Tanzania