Header Ads

Breaking News
recent

Vijana wa kitanzania 'Nimeacha Youth Club' wanakukaribisha kutembelea kituo cha watoto yatima Arusha

Vijana wa Nimeacha Youth Club inapenda kuwakumbusheni kuwa ile project ya kwenda kuwatembelea watoto yatima Kioga Arusha ni wiki hii, siku ya Jumamosi saa tatu asubuhi, tunakutania Mianzini. Mjuze na kijana mwenzio. 

Kwa maelezo zaidi tumia namba hiyo kwenye post.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.