Header Ads

Breaking News
recent

Selena Gomez huenda akarudisha penzi kwa Justin Bieber?

Hii picha ni ya kipindi cha mwanzo wakati wakiwa wapenzi
Justin Bieber, 23, na Selena Gomez, 25, wameonekana kuwa karibu juzi kati baada ya kukutana katika nyumba ya Selena kwaajili ya mapumziko na marafiki zao.
Kwa mujibu wa TMZ wapenzi hao wa zamani, hawajarudiana bali walikutana tu kwasababu, Selena aliwaarika marafiki zake ili kuwaelezea tukio alilopitia wakati wa kubadirishiwa figo siku za hivi karibuni. Inasemekana Selena aliwasiri na gari hilo hapo juu.
Na baada ya dakika 10 Justin Bieber aliwasiri na Wagon nyeupe hapo juu pichani. Selena bado ni mpenzi wa The Weeknd na inasemekana jamaa alikuwa anajua kutokea kwa tukio hilo na hakuwepo kwasababu alikuwa katika ziara ya muziki, so hapana neno mbaayaa!
Picha hii niyakipindi cha nyuma
Inasemekana pia juzi kati wawili hawa walionana, jambo ambalo bado linatia shaka kuwa huenda mbeleni pendo likarejea tena.
Picha hii ni ya kipindi cha mwanzo
Picha hii ni ya kipindi cha mwanzo
Picha hii ni ya kipindi cha mwanzo
 PAKUA NYIMBO ZILIZOTOKA WIKI HII>>>DOWNLOAD
SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi.

Kupata Update kibao, like Facebook account yetu.
Twitter Account yetu>>>Asili Yetu Tanzania
  

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.