Header Ads

Breaking News
recent

Rais mstaafu wa awamu ya nne Mh. Jakaya Kikwete leo amesherehekea siku yake ya kuzaliwa

Leo katika historia ni kuhusu Rais mtaafu wa awamu ya nne Mh. DKT Jakaya Mrisho Kikwete, siku kama ya leo miaka 67 iliyopita alizaliwa katika kijiji cha Msoga Mkoani Pwani, na siku ya leo amesheherekea siku yake ya kuzaliwa, ambapo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Twitter watu mbali mbali wakijitokeza kumtakia afya na maisha mema.

Hichi ndicho JK mwenyewe aliweza kupost Twitter>>>"Siku kama ya leo, miaka 67 iliyopita nilizaliwa kijijini Msoga, Pwani. Namshukuru Mungu kwa rehema zake, umri mrefu na afya njema."

Naye Ridhiwani Kikwete alimpongeza baba yake kwa kuandika hivi Twitter>>>"Mungu amekupa Umri na Hekima uendelee kufanya kazi yake duniani. Nakuombea kheri kubwa unaposherehekea umri mpya. Happy Birthday Dad Jaykay".

PAKUA NYIMBO ZILIZOTOKA WIKI HII>>>DOWNLOAD

 SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.