Header Ads

Breaking News
recent

Mchezaji Tenesi maarufu Uingereza Dan Evans afungiwa kujihusisha na mchezo huo

 Mchezaji wa tenis muingereza Dan Evans amefungiwa kwa mwaka mmoja kujihusisha na mchezo huo baada ya vipimo alivyochukuliwa kuonyesha kwamba anatumia Cocaine dawa zilizokataliwa michezoni.

Evans anasema alitumia dawa hizo kwa bahati mbaya.

Mchezaji huyo namba nne kwa ubora nchini Uingereza alipimwa katika michuano ya Barcelona Open April 24, na kuonekana kutumia dawa hizo, na adhabu hii itaanza tarehe hiyo ilipogunduliwa.
Kwa maana hiyo Evans mwenye miaka 27 atarejea uwanjani April 24, 2018.

SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.