Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu atangaza kujivua Ubunge
Kwa stori zilizoenea hadi sasa mitandaoni na vyombo vya habari ni kwamba Mbunge wa Singida Kaskazini, Mh. Lazaro Nyalandu ametangaza kujivua Ubunge na nyadhifa nyinginezo.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Mh. Nyalandu ameonekana kuweka ujumbe huu>>>
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Mh. Nyalandu ameonekana kuweka ujumbe huu>>>
NIMEAMUA kujiuzulu NAFASI yangu ya Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM, pamoja na nafasi zote za... https://t.co/SRzXxr4suA— Lazaro Nyalandu (@LazaroNyalandu) October 30, 2017
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA