Header Ads

Breaking News
recent

Lewis Hamilton atwaa ubingwa wa dunia katika mbio za magari

Dereva Lewis Hamilton amefanikiwa kushinda taji la nne la dunia katika michuano ya Mexico grand prix licha ya kumaliza akiwa nafasi ya tisa baada kugongana na Sebastian Vettel.

Mafanikio ya Hamilton yanamfanya kuwa dereva wa Uingereza kufanikiwa zaidi katika historia akiwa amevunja rekodi ya Jackie Stewart.
Anaungana na Vettel na mfaransa Alain Prost wenye vikombe vinne.
Aligongana na Vettel wakati walipokuwa wakijaribu kupishana katika kona.

PAKUA NYIMBO ZILIZOTOKA WIKI HII>>>DOWNLOAD
SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi.

Kupata Update kibao, like Facebook account yetu.
Twitter Account yetu>>>Asili Yetu Tanzania
     

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.