Fahamu Kiatu ghali zaidi duniani
Bado wanaojua thamani ya vipaji vyao wanazidi kuvitumia kuingiza pesa mfululizo bila hata kumeza fundo la mate. Karibu katika nyumba ya ubunifu Asili Yetu Blog.
Stori zinatoka Dubai kwa mbunifu Debbie Wingham, 35, aliyebuni kiatu ghali sana kuwahi kutokea duniani.
Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na watu wa masuala ya mitindo imeeleza
kuwa kiatu hicho kinagharibu kaisi cha dola milioni 15.1 za Kimarekani
na kimetengenezwa kwa vito mbalimbali kama vile almasi ya blue, almasi nyeupe
na vito vingine 1,000 vya almasi.
Kiatu hicho kilichotengenezwa na mbunifu Debbie Wingham aliyopo nchini Dubai, kitakuwa kitu cha nne chenye thamani kubwa duniani.
Ikumbukwe kwamba mwanamama huyu mnamo 2012 alitengeneza vazi ghali zaidi duniani kwa kutumia almasi yeusi, na mwaka 2013 na 2015 pia aliendelea kutoa vitu ghali zaidi duniani.
Kwa mujibu wa chanzo Novemba 1, Wingham ataviachia rasmi hivi viatu ghali zaidi duniani huko Raffles Dubai.
PAKUA NYIMBO ZILIZOTOKA WIKI HII>>>DOWNLOAD
SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi.
Kupata Update kibao, like Facebook account yetu.
Twitter Account yetu>>>Asili Yetu Tanzania
Stori zinatoka Dubai kwa mbunifu Debbie Wingham, 35, aliyebuni kiatu ghali sana kuwahi kutokea duniani.
![]() |
| Debbie Wingham akiwa ameshikilia kiatu ghali zaidi duniani alichokibuni yeye |
Kiatu hicho kilichotengenezwa na mbunifu Debbie Wingham aliyopo nchini Dubai, kitakuwa kitu cha nne chenye thamani kubwa duniani.
Ikumbukwe kwamba mwanamama huyu mnamo 2012 alitengeneza vazi ghali zaidi duniani kwa kutumia almasi yeusi, na mwaka 2013 na 2015 pia aliendelea kutoa vitu ghali zaidi duniani.
Kwa mujibu wa chanzo Novemba 1, Wingham ataviachia rasmi hivi viatu ghali zaidi duniani huko Raffles Dubai.
PAKUA NYIMBO ZILIZOTOKA WIKI HII>>>DOWNLOAD
SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi.
Kupata Update kibao, like Facebook account yetu.
Twitter Account yetu>>>Asili Yetu Tanzania


No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA