Top 10 ya mastaa wa kike duniani waliotengeneza pesa nyingi
Kila mwaka jarida la Forbes hutoa
takwimu ya tafiti mbalimbali ambazo wanakuwa wamefanya, sasa moja kati
ya hizo ni hii ya mastaa wa kike duniani walioingiza pesa
nyingi kwa 2016-2017 kutokana na shughuli mbalimbali zikiwemo za muziki, biashasha na mengineyo.
Sofia Vergara amekuwa staa wa filamu ambaye amelipwa fedha nyingi zaidi kuanzia Juni mwaka jana mpaka kufikia mwezi Juni mwaka huu.
Angalia orodha nzima ya mastaa hawa waliotengeneza pesa ndefu zaidi>>>
1. Sofia Vergara – $41.5 million
2. Kaley Cuoco – $26 million
3. (tie) Ellen Pompeo/Mindy Kaling – $13 million
5. Mariska Hargitay – $12.5 million
6. Julie Bowen – $12 million
7. Kerry Washington – $11 million
8. Priyanka Chopra – $10 million
9. Robin Wright – $9 million
10. Pauley Perrette – $8.5 million
Sofia Vergara amekuwa staa wa filamu ambaye amelipwa fedha nyingi zaidi kuanzia Juni mwaka jana mpaka kufikia mwezi Juni mwaka huu.
Angalia orodha nzima ya mastaa hawa waliotengeneza pesa ndefu zaidi>>>
1. Sofia Vergara – $41.5 million
2. Kaley Cuoco – $26 million
3. (tie) Ellen Pompeo/Mindy Kaling – $13 million
5. Mariska Hargitay – $12.5 million
6. Julie Bowen – $12 million
7. Kerry Washington – $11 million
8. Priyanka Chopra – $10 million
9. Robin Wright – $9 million
10. Pauley Perrette – $8.5 million


No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA