Mkali kutoka WCB anayefanya poa katika game ya muziki wa Bongo Fleva, sasa ana kuletea video yake mpya. Harmonize ameachia video ya wimbo wake mpya ‘Niambie’ baada ya kimya cha takribani miezi nane. Jacqueline Wolper ametumika kama model kwenye video hiyo.
Itupie macho hapo chini.....
Video ya Harmonize - "Niambie".
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Friday, March 17, 2017
Rating: 5
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA