Mwanamke wa kwanza kutembelea nchi zote 196 ulimwenguni.
![]() |
Mwanamke huyu wa Marekani ametembelea nchi zote 196 na kuweka rekodi ya dunia
|
![]() |
Cassie De Pecol |
Mwanamke huyo alianza safari yake July 2015, akipigia debe utalii endelevu kama balozi wa taasisi ya International Institute of Peace Through Tourism.
Jumla, De Pecol ametumia bajeti ya $198,000 kuizunguka dunia. Pia hakuna kitu utakachofanya kisikose kuwa na changamoto, na moja wapo ya changamoto alizopata Cassie ni masuala ya viza za nchi mbalimbali.
Endapo huenda umeshindwa kutembelea mikoa mbalimbali ya hapa Tanzania, basi chukua time utenge bajeti yako kidogo ili utembelee vivutio vyetu vya hapa Tanzania, vivutio ambavyo wageni wengi duniani wanakuja kuvitembelea kutoka mbali sana na wanatumia gharama kubwa.
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA