Hatimaye record label kubwa duniani, Universal Music Group (UMG), imemtangaza rasmi kumsainisha Diamond Platnumz.
Anakuwa msanii wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kusainishwa kwenye label hiyo.
Wimbo wake, Marry You akiwa na Ne-Yo ni wa kwanza kutoka chini ya mwamvuli wa Universal Music.
Diamond Platnumz awa msanii wa kwanza Afrika Mashariki kusainishwa katika lable ya Universal Music Group (UMG).
Reviewed by
KISHINDO TZ
on
Friday, February 03, 2017
Rating:
5
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA